a Mal 1:6; Kut 21:17; Law 19:3; Eze 22:7; Mt 15:4; 19:19; Mk 7:10; 10:19; Lk 18:20; Efe 6:2-3; Kum 4:40; 11:9; Mit 3:1-2
Deuteronomy 5:16-20
16 aWaheshimu baba yako na mama yako, kama Bwana Mwenyezi Mungu wako alivyokuagiza, ili siku zako zipate kuwa nyingi na kufanikiwa katika nchi Bwana Mwenyezi Mungu wako anayokupa.17 bUsiue.
18 cUsizini.
19 dUsiibe.
20 eUsimshuhudie jirani yako uongo.
Copyright information for
SwhKC